FOLLOWERS

Wednesday, January 23, 2013

JINSI YA KUMKAMATA MPENZI ANAYEDANGANYA KWA KUTUMIA SIMU

Ni mambo mengi yanatokea ndani ya mahusiano ya wawili.
na moja ya hilo jambo ni ugomvi. Na ugomvi mwingi hutokea sababu
ya kutokuaminiana.

anyway jambo moja ambalo wengi limewashika shati ni hili ku "cheat"

na huwa wengi hutafuta jinsi ya kuwakama wanza wao wanaodhulumu penzi.

Asante kwa mambo ya kisasa . sasa kumkata anae cheat imekuwa rahisi kama kusoma

JF kwenye cellphone.

kuna apps mbili moja ajili ya Iphone na nyingine ya adroid... na bei poa kweli kuanzia $2.99US mpaka $2.42 US.


ya adroid phone hii hapa link.

https://play.google.com/store/apps/d...tzLnNweWFwcCJd


ya Iphone hii hapa link.

https://itunes.apple.com/us/app/spy-...415808214?mt=8


yaaaniii mmhhh kila details ziko humo. unaweza kusoma message zake zote, unaweza kusikiliza maongezi yake yote,

unaweza kutrack kila anapopita, kila anapokaa, i mean kila kona atakayoenda. na unaweza kuona pia yuko wapi bila hata ya wewe kugusa simu yake.

so wale ndugu zangu na mie "nimebanwa na kikao kumbe yuko nyumba ndogo " muda wenu umefika.

Hakuna tena mambo ya ku guess na kutoaminiana. ingia kwenye simu yako download hizo app kazi ianze..

asante kwa technology kila kitu kitakuwa hewani.


ps. Kuna wengine hawataipenda hii thread kwa hiyo pita zako tu ...

na kwa wale wanaowaamini wapenzi wao hii thread haiwahusu,,

Be safe, take care.

Afrod
 
KUTOKA : JAMII FORUMS

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...