FOLLOWERS

Thursday, July 26, 2012

DK SHEIN AKUTANA NA MABALOZI IKULU ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Kiongozi wa Mabalozi waliopo Tanzania,pia Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo JUma Alfani Mpango,(katikati) na Balozi wa Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu(UAE) pia Kiongozi wa Mabalozi wa Nchi za Kiarabu nchini Tanzania,Mallalla Mubarak  Suweid  El-Amri, walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kwa Mazungumzo. 

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...