FOLLOWERS

Saturday, May 26, 2012

JINSI MUSWAADA UNAVYOKUWA SHERIA.


  1. Hutayarishwa na waziri kwa uongozi wa mwanasheria mkuu wa serikali.
  2. Utangazwaji wa muswaada wa serikali katika gazeti la serikali ( hazipungui siku 21)
  3. Upelekaji wa muswaada katika gazeti la serikali ( kamati huanza kuufikiria muswaada)
  4. Usomaji wa kwanza bungeni. ( muswaada huongelewa, hujadiliwa, na kupigiwa kura. Wajumbe wanaweza kushauri mabadiliko)
  5. Upelekaji wa muswaada kwenye kamati mara ya pili. Mabadiliko yaliyoshauriwa hufikiriwa ( usomaji wa pili)
  6. Idhini ya raisi.

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...