FOLLOWERS

Wednesday, August 1, 2012

SOMA : SABABU ZA WAISLAMU KUGOMEA SENSA

SABABU ZETU KUGOMEA SENSA HIZI HAPA ZIWAZIII. KAMA UNA MASWALI ZAIDI NI INBOX..NITAFAFANUA
Mwaka 1967 nyerere aliondosha kipengele cha dini ktk sensa ya wananchi wa Tanzania United Republic.
1.Ofisi ya wazli mkuu inadai wakristo ni 45% waislam 35% Na hili limo kwenye Calender zinazotolewa na ofisi ya waziri mkuu.
2.TBC 1 Tar 26 April 2012 Imetangaza Hadharani takwimu zinazoonyesha wakristo ni 52% waislam 32%(Sijui Wametuhesabu lini?)
3. Bodi ya utalii imeonyesha katika Website yao wakristo ni 45% waislam 40% ( taarifa ambayo wameitoa na kuedit siku nne kutoka leo baada ya waislam kutumia kama reference mpaka kwenye vyombo vya habari).
4. Wakatoliki tovuti yao (www.rc.net ) wamedai waislam ni 34%na wao ni 44% ( Unapaswa kujiuliza ni lini walituhesabu?).
5. Takwimu za nama hii zipo kwenye Ramani zile kubwa kabisa zinazoonyesha nchi yetu na zile ilizopakana nazo( Ukitaka kuamini nunua hizo ramani au hata angalia tu.)
6.Angalia na Wikipedia nazo zinavyochezea takwimu bila woga http://en.wikipedia.org/wiki/Tanzania#Religion
Takwimu hizi za uogo zmekuwa zki2miwa ktk uteuzi na maamuzi kama ilivyo elezwa kuwa tz haiwez kujiunga na jumuiya ya kiislamu ya OIC sababu raia wakristo ni wengi kuliko waislam.
KAMA ULIKUA HUJUI KWANINI WATU WANAGOMA BASI LEO UJUE. SIO KAMA TUNAPENDA TU UBISHI ILA TUNAJUA TUNACHODAI NA SABABU TUNAZO TENA ZA MSINGI.(CHANZO : TANURU LA FIKRA)

No comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...